Download Free Apps & Games @ PHONEKY.com
Subject: MAPENZI
Replies: 4 Views: 1129
missanna 9.02.11 - 03:16pm
Kwa nini mwanamke akimtamkia mwanaume nakupenda watu wanamchukulia vibaya *
mrmbarak 10.02.11 - 02:25pm
Hapana sio kwa wote na kwa mwanamke ana njia nyingi za kumpata mwanaume sio mpaka atamke *
doctlove 24.02.11 - 05:31pm
Kwa mimi mwanamke akinitamkia ananipenda nitafikilia kama ananifaa nitamkubali *
dabullet 2.03.11 - 10:51am
Upende wngu dem akinitamkia ctamuona lyk yeye ni kicheche&v2vingine ka hivyo. *
chrissp 1.05.11 - 09:44am
mwanamke akikutamkia anakupenda sio wote ambao wakisema nakupenda nikicheche or malaya,'bali ni hic a zilizo mfanya akp *